
Hii nayo inaitwa sanaa huko majuu, mamia ya watu wanawake kwa wanaume nchini AUSTRALLIA wamejitolea kukaa uchi kwenye sehemu ya hadhara ili kupiga picha za sanaa kwaajili ya jumba la makumbusho.
Katika kusherehekea miaka 10 ya jumba la sanaa la OPHRA mamia ya watu wanawake kwa wanaume walikusanyika kwenye bustani wakiwa uchi wa mnyama kwaajili ya kupiga picha za sanaa.
Mpiga picha wa Kimarekani, Spencer Tunick alifanikiwa kuwakusanya mamia ya watu ambao waliamua kubakia na suti zao walizozaliwa nazo wakipangwa katika staili mbalimbali ili kutengeneza picha za maumbile tofauti tofauti.
Inakadiriwa kuwa watu 5,000 wazee kwa vijana walishiriki katika zoezi hilo.
Angalia video hii chini ujionee mwenyewe hali ilivyokuwa.
No comments:
Post a Comment