WELCOME TO TANZAMERICA'S WORLD

Tanzamerica
Is a social network page that updates you with current news from Tanzania , America and around the world. Also, gives you the opportunity to link up your business or ministry between Tanzania and America .We are also dealing with Entertainments (music,movie and art) news, and sports between the two country.
For more info on how to advertise your business, ministry, career and news
Contact us:
+1360 561 6629
Patrick.
tanzamerica@gmail.com
info@patricknworld.com
http://www.tanzamerica.blogspot.com
Detailed Info

http://www.celebafrica.blogspot.com
http://www.patricknworld.blogspot.com
http://www.reverbnation.com/patricknewman

Tuesday, March 23, 2010

TANZANIA DISAPOINTED OVER CITES REJECTION ON IVORY SALE BID



THE government has expressed its disappointment over the decision by the Convention on International Trade in Endangered Species (CITES) to reject its plea to sale 100 tonnes of stockpiled ivory while blaming Kenya for spearheading negative propaganda.

The Permanent Secretary in the Ministry of Natural Resources and Tourism, Dr Ladislous Komba, said that the government was therefore planning to renew the request, saying that misinformation had failed the proposal.

“We were right and confident but what happened is that Kenya spearheaded negative campaign and all other nations relied on wrong information from Kenya and that is why the conclusions were not in our favour,” he said.

Dr Komba noted that the country was doing better in preventing elephants from being killed and that could be proven by the fact that it has a big population of elephants than any other country in the Southern and Central Africa.

Last Saturday the government blasted the CITES Secretariat for its report on the Tanzania's wildlife survey, saying it was biased, inadequate and incorrect, hence unsatisfactory.

Reports say that the 175-national convection also rejected a similar proposal from Zambia to sell off its ivory stocks which were considered later in the day (yesterday).

The Minister for Natural Resources and Tourism, Ms Shamsa Mwangunga, said earlier that the country is committed to conservation of its wildlife including elephants. Ms Mwangunga noted that the government planned to use proceeds from the trade for strengthening anti-poaching activities.

She argued that elephant population had reached the point where they were trampling crops and killing too many people. The proposal also said preventing selling of the stocks which come from natural deaths or controlled culling of problem animals would increase anger toward the beasts that are seen increasingly as pests by affected communities.

The country was asking to sell almost 90,000 kilogrammes of its stockpiled ivory that would have generated as much as 20 million US dollars (over 23bn/-). It was noted in the proposal that the elephant population has risen from 55,000 in 1989 to 110,000 last year.

The neighbouring Kenya and six other African countries, proposed a halt in what limited international trade in ivory is currently allowed and a 20-year moratorium on any attempts to relax international trade controls on African elephant ivory.

Opponents led by the United States, the European Union and several central and west African countries say the country has not done enough to combat poaching and slow the illegal trade in ivory.

They also wanted more time to assess whether a 2008 ivory sale by Zimbabwe, Botswana, South Africa, Namibia had contributed to the illegal trade. Ivory sales have in recent years been among the most contentious proposals at CITES and this time around African countries, and even some environmental groups, are divided.

The ivory would be sold to China and Japan — the only countries which have asked to purchase it. The proposal would have been the third ivory sale following ones in 1999 and 2008.

TRANSPORT IN DAR ES SALAAM REMAINS A MAJOR CHALLENGE FOR STUDENTS


A TRAFFIC policeman (centre) helps students to board a commuter bus, daladala, at the Kivukoni Bus Stop in Dar es Salaam this noon. The students, who had finished their day at school, had to wait for several hours pleading with conductors to let them into the buses.

WANAFUNZI WA CHUO CHA IFM DAR ES SALAAM WAGOMA KUPIGA ONGEZEKO LA ADA



WANAFUNZI wa Shahada ya kwanza na ya pili katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha [IFM] jana waligoma kueneelea na masomo kutokana a ongezeko la ada lililipanda ghafla. Wanafunzi hao jan waligoma kuenela na masomo na kuweka migomo baada kupinga ongezeko la ada zaidi ya asilimia hamisini chuoni hapo.

Wanafunzi hao walionekana kutka kuandama kwend kutaka kumuona mfadhili wea chuo hicho Waziri wea Fedha ili weakamueleze tatizo hilo kama ana taarifa nalo.

WAnafunzid hao waliweka mgomo huo baada ya kutopata majibu ya maokeo ya mitihani baada ya kuambiwa hadi wamalize ada na kushangazwa na kauli hiyo.

Wanafunzi hao walidai kuwa ada zimepand kutoka shulingi milioni moja hadi kufika milioni moja na laki sita jambo ambalo limewshangaza kupanda kwa ada hizo bila ya kupewa taarifa rasmi.

AKATAA ZAWADI YA SHILINGI BILIONI 1.3


Akataa Zawadi ya Tsh. Bilioni 1.3

Mwanaume wa nchini Urusi ambaye anaishi maisha ya kifukara katika nyumba yake iliyojaa mende kibao, amekataa zawadi ya dola milioni moja aliyopewa baada ya kulipatia jibu fumbo la hesabu lililowashinda wataalamu wa mahesabu kwa miaka 100. "Nimetosheka na kile nilicho nacho", alisema Dr Grigory Perelman, 44, mwanaume anayesemekana kuwa yeye ndiye Genius wa hisabati kwani yeye ndiye mtu pekee aliyefanikiwa kulifumbua fumbo la hisabati linaloitwa "Poincare Conjecture" ambalo wanahisabati wote duniani kwa kushirikiana walishindwa kulifumbua fumbo hilo lenye miaka 100.

Dr Grigory Perelman anaishi mjini Petersburg katika nyumba yake ambayo imejaa mende wengi sana kiasi cha majirani zake kutoa malalamiko kuwa mende hawaishi kuingia kwenye nyumba zao toka kwenye nyumba ya mtaalamu huyo wa hisabati.

Dr. Perelman nyumbani kwake ana meza moja, stuli moja na kitanda chenye godoro chafu lililochakaa lililoachwa na wamiliki wa nyumba hiyo ambao walikuwa walevi kupindukia ambao ndio waliomuuzia Dr.Perelman nyumba hiyo.

Pamoja na maisha anayoishi, Dr. Perelman ameikataa zawadi ya dola milioni moja aliyopewa na taasisi ya hisabati ya Marekani akisema kuwa hana shida ya pesa ametosheka na alichonacho.

Miaka minne iliyopita, Dr. Perelman alikataa kwenda kuichukua tuzo maalumu aliyotunukiwa na umoja wa kimataifa wa wanahisabati kwa kulipatia jibu swali hilo gumu la hisabati.

Wakati huo Dr. Perelman alisema "Sina shida ya pesa wala umaarufu, sitaki nionyeshwe kwa watu kama vile wanyama kwenye bustani za wanyama".

"Mimi sio shujaa wa hisabati, sijafanikiwa kwa kiasi hicho ninachoongelewa, na hivyo sitaki watu wote wawe wananiangalia mimi", alisema Dr. Perelman.

Ilikuwa ni mwaka 2002 wakati Dr. Perelman alipokuwa akifanya kazi kwenye taasisi ya utafiti wa hisabati nchini Urusi wakati alipoanza kutuma majibu kwenye internet ya fumbo la Poincare Conjecture ambalo ni miongoni mwa mafumbo saba magumu ambayo kila fumbo moja limetengewa zawadi ya dola milioni moja kwa mtu atakayelipatia jibu.

Kupatikana kwa jibu la fumbo la Poincare Conjecture kutawawezesha wanasayansi kuweza kujua umbile la ulimwengu.

Mwaka 2003 Dr. Perelman aliacha kazi kwenye taasisi hiyo ya utafiti wa hisabati na inadaiwa na marafiki zake kuwa ameachana kabisa na masuala ya hisabati.

KAHABA AFRIKA KUSINI ASHTAKI BAADA YA KUSIMAMISHWA KUSIMAMISHWA KAZI ZAKE



ngawa ni kinyume cha sheria kufanya ukahaba, Kahaba mmoja nchini Afrika Kusini ameenda mahakamani kupinga kusimamishwa kazi isivyo halali kwenye danguro moja lililopo mjini Cape Town. Kahaba huyo anayejulikana kwa jina la Kylie alisimamishwa kazi kutokana na tabia yake ya kuchagua wateja na kutumia muda mwingi na mpenzi wake ambaye alikuwa hataki kulipa kwa huduma ya ngono anayopewa.

Jaji wa kesi alishikwa na butwaa akisema kuwa haamini inakuwaje mtu anayefanya kazi haramu akaenda mahakamani kuitetea kazi haramu anayofanya.

Hata hivyo wanasheria wa Kylie wanasema kuwa kesi ya Kylie si kuhusiana na kufanya kwake ukhaba ambao ni kinyume cha sheria bali ni kufukuzwa kwake kazi isivyo halali.

Mahakama kadhaa za nchini Afrika Kusini zimekataa kuisikiliza kesi hiyo zikisema kuwa kufanya ukahaba ni kinyume cha sheria, vimeripoti vyombo vya habari vya Afrika Kusini.

Majaji watatu wa mahakama ya kazi wanakuna vichwa vyao kujua kama waisikilize kesi hiyo au la.

"Wakati unaposimamishwa kufanya kitu haramu.. haiingii akilini kusimama na kupigania watu wakurudishe kufanya kazi ya haramu", alisema rais wa majaji, Raymond Zondo.

Kylie amekuwa akipigania kurudishwa kwenye kazi yake haramu kwa miaka saba sasa tangia aliposimamishwa kazi mwaka 2003.

WA State African Community Leadership Conference

Invitation to the 1st annual Washington State African Communities Leadership Conference 2010 on March 27, 2010


Dear Brothers and Sisters, Greetings:
I hope this letter finds you and yours well!

It gives me great pleasure in inviting you on behalf of the African Affairs Council of Washington State (AACWA) to the 1st annual Washington State African Communities Leadership Conference 2010 to be held at St. John’s Episcopal Church in Olympia (114 20th Ave SE, Olympia WA 98501-2999) on March 27, 2010 from 09:30 a.m. to 4:30 p.m.

=====================================

THE AFRICAN AFFAIRS COUNCIL OF WASHINGTON STATE

A Non Profit Corporation

WASHINGTON STATE AFRICAN COMMUNITIES

LEADERSHIP CONFERENCE 2010

Saturday March 27th 2010

Saint John’s Episcopal Church, Olympia, Washington

AGENDA
9:30 Registration

10:00 Welcome and breakfast

AM SESSION

10:30 Introduction of the upcoming A DAY FOR AFRICA

September 17th&18th 2010 in Tumwater

11:00 Brainstorming – A DAY FOR AFRICA – activities, events

11:50 BREAK

12:00 Activity prioritization, organization and program development

and responsibility assignments

13:15 NETWORKING / PRAYER BREAK

13:30 Lunch

PM SESSION

14:00 THE AFRICAN COMMUNITIES IN WASHINGTON STATE

15:45 Break and networking

16:00 Questions & answers from participants

16:30 End of Conference

Monday, March 22, 2010

MGOMO WA WAFANYA KAZI TANZANIA

SHIRIKISHO la Vyama vya wafanyakazi nchini {TUCTA] umetangaza mgomo utakaofanyika nchi nzima kuaninzia Mei 5, mwaka huu kupinga mambo mbalimbali serikalini. Nacho Chama cha Walimu Tanzania [CWT] umeunga mgomo huo na umesema utashiriki ipasavyo na wameheshimu kauli ya tucta kwa kuwa ina nguvu na wanakusudia kugoma hadi hapo haki zao zitakapotekelezwa ipasavyo.

Rais wa CWT, Gratian Mukoba amesema kwa sasa anatoa taarifa kwa walimu wote nchini na wanatakiwa wafahamu kuwa chama chao kimeitikia wito wa kushiriki kwenye mgomo wa kudai mambo mbalimbali ambayo serikali imeyadharau kwa muda mrefu.

Aliongeza kuwa viongozi wa vyama vyote wamekubaliana kuwatangazia wanachama wao kuhusu mgomo huo ili washirikiane kudai haki zao chini ya mwavuli wa Tucta.

Mgomo huo unakusudia madai ya mishahara duni isiyokidhi mahitaji, mafao duni ya wastaafu kutoka kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii pamoja na ulipishwaji wa kodi kubwa kwenye mishahara midogo wanayopata wafanyakazi.

Tucta imedai kuwa siku ya kusherehekea sikukuu ya wafanyakazi Mei Mosi watajadili kindani jinsi ya kuanza kufanya mgomo huo kwa kuw wafanyakazi wote hukutana siku hiyo.

BIBI CINHTIA NI MWANAMKE ALIYEIBIWA MME WAKE AENDA KUSHTAKI MAHAKAMANI NAKULIPWA FIDIA YA DOLLA MILIONI 9


Mwanamke wa nchini Marekani aliyemfikisha mahakamani mwanamke aliyempora mumewe, ameshinda kesi aliyomfungulia mwanamke huyo kwa kumuibia mumewe na atalipwa fidia ya dola milioni 9. Cynthia Shackelford mwenye umri wa miaka 60 aliiambia mahakama ya North Carolina kuwa aliacha kazi yake ya ualimu ili kulea watoto na kumsaidia mumewe Allan katika kuziendeleza shughuli zake za kisheria.

Kwa kutumia kipengele cha sheria ambacho huwa hakitumiki sana, Bi Cynthia alisema kuwa mumwe alikuwa ni mtu mwenye furaha na mwenye kuonyesha mapenzi kwake kabla ya bi Anne Lundquist, 49, kuuingilia uhusiano wao na kuanza uhusiano na mumewe.

Baada ya siku mbili za kuisikiliza kesi hiyo, majaji waliamuru bi Cynthia alipwe fidia ya dola milioni 9 baada ya bi Cynthia kuithibitishia mahakama jinsi mapenzi yao yalivyokuwa motomoto kabla ya Anne kuanza uhusiano na mumewe.

Mahakama ilitaka bi Cynthia alipwe fidia kwa kitendo cha mumewe kutembea nje ya ndoa yao na kumuumiza kihisia bi Cynthia.

Anne ambaye hivi sasa anaishi na Allan, alisema kuwa atakata rufaa kupinga hukumu hiyo akidai kuwa alianza uhusiano na Allan baada ya ndoa ya Allan na mkewe kuvunjika.

Jimbo la North Carolina ni miongoni mwa majimbo machache ya Marekani ambayo yanaruhusu wanandoa kuwafikisha mahakamani wenzao wanaozisaliti ndoa zao.

A VICTORY FOR THE AMERICAN PEOPLE


The passage of health insurance reform legislation represents a historic victory for the American people. America's families and businesses will not only get relief from skyrocketing health care costs but will now have more control over their health care. No longer will the insurance companies get the final say when it comes to rates and rights.

Health Reform

  • Reduce long-term growth of health care costs for businesses and government
  • Protect families from bankruptcy or debt because of health care costs
  • Guarantee choice of doctors and health plans
  • Invest in prevention and wellness
  • Improve patient safety and quality of care
  • Assure affordable, quality health coverage for all Americans
  • Maintain coverage when you change or lose your job
  • End barriers to coverage for people with pre-existing medical conditions

Health Reform & the Budget

“Under this budget, we will provide the health and human services that Americans depend on more effectively, slashing waste and focusing programs on results.”
-- Secretary Sebelius

The President’s budget helps build the foundation for health insurance reform. The budget strengthens the health care system and improves access to care by investing $995 million to address the shortage of health care providers in underserved areas, increasing funding to expand services at Health Centers by $290 million and allocating nearly $80 million for work to spread the adoption and use of health information technology.

Read the President’s Budget

Get Health Insurance
Reform Updates

Families across the country have seen their health insurance premiums skyrocket, with one insurance company promising increases of up to 39 percent in the months ahead. Health insurance reform will give families the relief they need and ensure Americans have secure, stable, affordable health insurance. Sign up here to get the latest information about rising health insurance premiums and the latest on efforts to reform the system.


ASKOFU KAKOBE BADO VITANI NA SERIKALI



kuonesha Serikali ipo katika juhudi za kuboresha huduma za nishati ya umeme nchini, jana mabango la Kanisa la Full Gospel Fellowship linaloonyehsa na kuwaelekeza watu kufika kanisani hapo limetolewa na mafundi wa Tanesco chini ya ulinzi mkali wa polisi.

Mabango hayo mawili yalisimikwa nje ya kanisa la Full Gospel Bibilia Fellowship(FGBFC) Linaliongozwa na askof Zakaria kakobe Jijini Dar es Salaam.

Mbali na kuondolewa mabango hayo pia askofu huyo ametakiwa na serikali kwa kupitia wakala wa barabara nchini (TANROAD)kuwajibika kulipa gharama za uondoaji wa mabango hayo kutokana na kuchelewa kufanya kazi hiyo kama alivyoelekezwa'

Mabango hayo yaliondolewa baada ya kudai kuwa mabango hayo yapo kwenye njia ya mradi wa umeme wa magawati 1332 na ni lazima yangetolewa kupisha mradi huo na kanisa hilo limetakiwa kuwajibika kulipa gharama hizo kwa kuwa yamechelewesha kazi ya utandazaji wa waya za umeme huo,amabapo kazi hiyo ilipangwakukamilika machi 15,mwaka huu.
Hata hivyo wakati kazi hiyo ukiendelea askofu kakobe na waumini wake hawakushiriki zoezi lake na walijifungia kanisani wakifanya maombi



MAKONTENA YA BIDAA BANDIA YAKAMAKWA BANDARINI DAR


Shehena ya makontena 20 za betri aina ya tiger head kutoka China zimekamatwa kutokana na kukosa ubora wa viwango vya matumizi ya bidaa hiyo.
Kontena hizo zimekamatwa katika operesheni ya Shirika la viwango nchini (TBS) katika kukagua bidaa ziingiazo nchini ambazo hazina viwango vya matumzi.
Mkurugenzi Mkuu wa TBS nchini Charles Ekerege alisema shehena walioyakamata ya betri hizo ilifika nchini januari mwaka huu, lakini walipozikagua waligundua kuwa hazina ubora uliowekwa na shirika hilo.
Alisema betri hizo zinaingizwa nchini na wafanya biashara wakubwa na wakati mwingine imedaiwa kuwa wanaziingiza kwa njia ya panya.

Alisema betri hizo huingizwa nhini na huuzwa kwa bei za rejareja shilingi 350 na zinazotengenezwa hapa nchini huuzwa kwa shilingi 450 kila moja na watanzania wengu hukimbilia betri hizo kutokana na unafuu wa bei.

SKENDO ZA VATICAN


Papa Benedict XVI ametoa tamko rasmi la kuwaomba radhi wahanga wa skendo la wachungaji kuwalawiti na kuwanyanyasa kijinsia watoto waliokuwa wakienda kanisani. Skendo hilo limeyakumba makanisa ya kanisa katoliki katika nchi mbali mbali duniani lakini Ireland ndio iliyotajwa zaidi kwa idadi kubwa ya watoto walionyanyaswa kijinsia na wachungaji huku kanisa katoliki nchini Ireland likifunika maovu ya wachungaji wake ili kanisa lisiharibiwe sifa yake.

"Najua mmenyanyasika sana na kufanyiwa ukatili na nawaomba radhi sana wote waliokumbwa na maovu haya", alisema Papa katika taarifa yake kwa makanisa ya Ireland.

"Najua hakuna kitu kinachoweza kuuondosha uovu mliofanyiwa, Imani zenu kwa kanisa zimesalitiwa".

"Sote tumekumbwa na skendo linalotokana madhambi ya baadhi ya wadau wa kanisa".

"Madhambi makubwa yamefanyika dhidi ya watoto wasio na utetezi wowote".

"Najua baadhi yenu mnaona ni vigumu hata kuingia tena kwenye milango ya kanisa baada ya yote haya yaliyotokea", aliendelea kusema Papa Benedict.

Kwa miaka zaidi ya 10 wachungaji na viongozi wa kanisa wameharibu imani za watu ndani ya kanisa, alisema Papa katika taarifa yake ambayo itasomwa kwenye makanisa karibia yote nchini Ireland wakati wa misa ya jumapili.

Maskendo ya ngono yanayowahusisha wachungaji na watoto wa kiume yamekuwa yakiripotiwa katika nchi mbali mbali duniani huku nchi zilizokumbwa zaidi na maskendo hayo zikitajwa kuwa ni Austria, Uswizi, Uholanzi, Brazil, Mexico na hata dayosisi ya kanisa la zamani la Papa nchini Ujerumani imo kwenye skendo hilo.

Papa alisema kuwa miaka ya kuficha maovu ya wachungaji waovu imeisha na ametaka wachungaji watakaogundulika kuendeleza maovu yao waripotiwe polisi.

Papa aliongeza kuwa katika miaka iliyopita ameishakutana na baadhi ya wahanga wa skendo hilo kutoka nchi mbalimbali duniani na anatarajia kufanya hivyo tena baadae.