WELCOME TO TANZAMERICA'S WORLD

Tanzamerica
Is a social network page that updates you with current news from Tanzania , America and around the world. Also, gives you the opportunity to link up your business or ministry between Tanzania and America .We are also dealing with Entertainments (music,movie and art) news, and sports between the two country.
For more info on how to advertise your business, ministry, career and news
Contact us:
+1360 561 6629
Patrick.
tanzamerica@gmail.com
info@patricknworld.com
http://www.tanzamerica.blogspot.com
Detailed Info

http://www.celebafrica.blogspot.com
http://www.patricknworld.blogspot.com
http://www.reverbnation.com/patricknewman

Thursday, March 25, 2010

MATATANI KWA KUMPIGA MGONJWA WA TB

MWANAMKE mmoja jana aliingia matatani baada ya kushindwa kuvumilia matusi aliyokuwa akitukanwa na mgonjwa wa kifua kikuu na kujikuta akimpiga ili aweze kumliza hasira zake. Tukio hilo lilitokea jana majira ya jioni, huko Mbagala Charambe baada ya mwanamke huyo [jina kapuni] kumpa kipigo mgonjwa huyo ambaye anaumwa kwa muda mrefu.

Ilidaiwa mwanamke huyo ambaye anaishi jirani na anakoishi mgonjwa huyo, alipatwa na jazba baada ya mgonjwa huyo kumtukana matusi na kushindwa kuvumilia na kumtia mikononi.

Ilidaiwa mgonjwa huyo alimtukana mama huyo matusi ya nguoni na ilidaiwa ni kawaida yake kumtuakana masma huyo na siku hiyo alishindwa kuvumilia na kumtiq mikononi.

Ilidaiwa ndugu wa mwanamke huyo walimsihi asimpige mgonjwa huyo japo kuwa anamatatizo mana alikuwa anatumia kigezo cha ugonjwa wake na kumsihi anaweza akapatwa na matatizo..

Bila kutambua alijikuta akimuingia mgonjwa huyo na ndugu wa mgonjwa huyo kuchachamaa na kwenda kuripoti kituo cha polisi.

Hata hivyo ilidaiwa kuwa mwanamke huyo alitakiwa kituo cha polisi akatoe maelezo machache kuhusiana na sakata hilo.

Kitakachoendelea kitawajia baada ya kupata tarifa kamili

No comments:

Post a Comment