WELCOME TO TANZAMERICA'S WORLD

Tanzamerica
Is a social network page that updates you with current news from Tanzania , America and around the world. Also, gives you the opportunity to link up your business or ministry between Tanzania and America .We are also dealing with Entertainments (music,movie and art) news, and sports between the two country.
For more info on how to advertise your business, ministry, career and news
Contact us:
+1360 561 6629
Patrick.
tanzamerica@gmail.com
info@patricknworld.com
http://www.tanzamerica.blogspot.com
Detailed Info

http://www.celebafrica.blogspot.com
http://www.patricknworld.blogspot.com
http://www.reverbnation.com/patricknewman

Tuesday, March 23, 2010

WANAFUNZI WA CHUO CHA IFM DAR ES SALAAM WAGOMA KUPIGA ONGEZEKO LA ADA



WANAFUNZI wa Shahada ya kwanza na ya pili katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha [IFM] jana waligoma kueneelea na masomo kutokana a ongezeko la ada lililipanda ghafla. Wanafunzi hao jan waligoma kuenela na masomo na kuweka migomo baada kupinga ongezeko la ada zaidi ya asilimia hamisini chuoni hapo.

Wanafunzi hao walionekana kutka kuandama kwend kutaka kumuona mfadhili wea chuo hicho Waziri wea Fedha ili weakamueleze tatizo hilo kama ana taarifa nalo.

WAnafunzid hao waliweka mgomo huo baada ya kutopata majibu ya maokeo ya mitihani baada ya kuambiwa hadi wamalize ada na kushangazwa na kauli hiyo.

Wanafunzi hao walidai kuwa ada zimepand kutoka shulingi milioni moja hadi kufika milioni moja na laki sita jambo ambalo limewshangaza kupanda kwa ada hizo bila ya kupewa taarifa rasmi.

No comments:

Post a Comment