WELCOME TO TANZAMERICA'S WORLD

Tanzamerica
Is a social network page that updates you with current news from Tanzania , America and around the world. Also, gives you the opportunity to link up your business or ministry between Tanzania and America .We are also dealing with Entertainments (music,movie and art) news, and sports between the two country.
For more info on how to advertise your business, ministry, career and news
Contact us:
+1360 561 6629
Patrick.
tanzamerica@gmail.com
info@patricknworld.com
http://www.tanzamerica.blogspot.com
Detailed Info

http://www.celebafrica.blogspot.com
http://www.patricknworld.blogspot.com
http://www.reverbnation.com/patricknewman

Monday, March 29, 2010

WORK FOR WATER IN PORTLAND OREGON WITH ERICK MWARABU


THE AMBASSADOR TO THE US HON.OMBENI SEFUE





Walk for Water-Down town Portland, was an event to drawing attention to the plight of millions of people whose access to safe drinking water is severely limited, Walk for Water raised funds to benefit Water For All, a non-profit organization dedicated to bringing clean water to families in sub-Saharan Africa. Walker registration fees, combined with local sponsor donations, went toward the goal of raising funds needed to build a series of water pumps in Tanzania. Ambassador Ombeni Sefue was the Key-note Speaker.
Eric Cliff Mwarabu
(Project Management/Marketing)
PORTLAND ROASTING.
503-236-7378 Main
800-949-3898 Free
503-841-3176 Mobile
503-231-2901 Fax

DINNER BANQUE IN LAS VEGAS


THE HONOR OF YOUR PRESENCE IS REQUESTED AT A DINNER BANQUET
WHICH WILL BE HELD ON SATURDAY 05.29TH.2010 AT 3525 E FLAMINGO RD LAS VEGAS NV 80121
R.S.VP NO LATER THAN MAY 8TH BY TELEPHONE OR EMAIL.
JACQUELINE KADIRI AT 707-290-4301 OR tonopa32@hotmail.com or
DOMICIAN MBEIKYA @ 707-290-2407 OR domcdavidy@yahoo.com
REGISTRATION WILL BEGIN AT 4:30PM AND DINNER WILL BE SERVED AT 5:30
REGISTRATION FEES OS $25 PER HEAD AND GROUP RATES FOR HOTELS ARE AVAILABLE .

MTOTO MWENYE VIDOLE 31 TOKA CHINA



Mtoto huyu wa nchini hana idadi ya vidole vya miguu na mikono kama watu wengine, amechukua rekodi ya dunia kwa kuwa na jumla ya vidole 31.
Mtoto mwenye umri wa miaka sita wa nchini China analazimika kufanyiwa operesheni ili kupunguza idadi ya vidole vyake vya mikono na miguu.

Mtoto huyo wa mji wa Shenyang katika jimbo la Liaoning kaskazini mwa China ana jumla ya vidole 16 vya miguu na vidole 15 vya mikono.

Vidole vyake vitatu katika kila mkono wake vimeungana pamoja.

Idadi ya vidole vyake inavunja rekodi ya dunia ya vidole 25 iliyokuwa ikishikiliwa na watoto wawili wa India Pranamya Menaria na Devendra Harne, ambao kila mmoja wao ana vidole 12 vya mikono na vidole 13 vya miguu.

Hata hivyo mtoto huyo wa nchini China atafanyiwa operesheni ya kupunguza idadi ya vidole vyake wiki hii.

MWANAME MWENYE MATITI MAKUBWA DUNIANI TOKA CHINA



Guo Feng mwanaume mwenye matiti makubwa Monday, March 29, 2010 4:58 AM
Madaktari nchini China wanadai kumgundua mwanaume mwenye matiti makubwa kuliko wote duniani.
Madaktari nchini China wanadai kumgundua mwanaume mwenye matiti makubwa kuliko wote duniani baada ya mwanaume huyo kujitokeza kwenye kliniki moja mjini Beijing.

Daktari wa hospitali ya Jinan Chest Hospital, Dokta Zhang Lilan alisema "Huyu ni mwanaume kamili isipokuwa ana matiti kama mwanamke".

"Yeye ni mkulima na anasema kuwa anasumbuliwa na ukubwa wa matiti yake wakati anapofanya kazi zake za kilimo".

"Anasema pia matiti yake yamekuwa gumzo kijijini kwake ambapo watu wengi wamekuwa wakimtafuta ili kumuona na imekuwa kero kubwa sana kwake kiasi cha kumfanya awe anavaa makoti makubwa hata wakati wa joto kali ili kuyaficha matiti yake", alisema dokta Lilan.

Mwanaume huyo aliyetajwa kwa jina la Guo Feng mwenye umri wa miaka 53, alisema "Miaka 10 iliyopita matiti yangu yalianza kuwa makubwa lakini nilikuwa nikifikiria unene wangu ndio sababu .. lakini miaka michache iliyopita nimekuwa nikizunguka hospitali moja baada ya nyingine kutafuta tiba lakini hakuna mtu anayetaka kunisaidia".

"Nimetumia pesa nyingi sana kwenye vipimo hospitalini lakini hakuna jibu lolote la maana huku matiti yangu yakiendelea kuwa makubwa", alisema Guo Feng.

"Wakati mwingine huwa nafikiria madaktari hawataki kunisaidia", alilamika Guo Feng.

Dokta Lilan alisema kuwa Guo Feng ametishia kuyakata matiti yake yeye mwenyewe iwapo hakuna daktari atakayejitokeza kumpatia tiba.

Hata hivyo madaktari wamekataa kuchukua hatua yoyote mpaka watakapogundua sababu ya matiti yake kuwa na ukubwa huo usio wa kawaida.

"Katika miaka yangu 30 ya kufanya kazi ya udaktari sijawahi kukumbana na kitu kama hichi", alisema Dokta Lilan.

"Awali tulidhania amekula kitu chenye sumu lakini vipimo vya damu yake havijaonyesha kitu chochote. Tumemfanyia X-ray hana dalili ya kansa", aliongeza mmiliki wa hospitali hiyo.

DARAU ZA RAISI WA ZAMAMNI WA MAREKANI GEORGE BUSH




Bush akiufuta mkono wake kwa kutumia shati la Bush Monday, March 29, 2010 5:45 AM
Rais wa zamani wa Marekani, George Bush ameingia katika zengwe kubwa sana baada ya kudaiwa kuonyesha dharau kwa kuufuta mkono wake kwa kutumia shati la rais wa zamani wa Marekani Bill Clinton baada ya kupeana mkono na mhanga wa tetemeko la Haiti.
George W Bush ameingia kwenye zengwe kubwa sana baada ya kudaiwa kuufuta mkono wake baada ya kupeana mkono na raia wa Haiti aliyenusurika kwenye tetemeko kubwa la ardhi lililoikumba nchi hiyo na kuua maelfu ya watu.

Rais huyo wa zamani wa Marekani alinaswa live katika video akisalimiana kwa kupeana mkono na mkimbizi wa Haiti halafu alifuta mkono wake kwa kutumia shati la rais mwenzake mstaafu, Bill Clinton.

Tukio hilo limetokea wiki iliyopita wakati Bush na Clinton walipotembelea kambi ya wahanga wa tetemeko la ardhi mjini Port-au-Prince baada ya kuombwa na rais Barack Obama wafanye hivyo ili kutunisha mfuko wa kusaidia wahanga wa Haiti.

Bush anaonekana wazi akipeana mkono na mwanaume raia wa Haiti na kisha kuuzungusha mkono wake hewani akiangalia wapi ausafishe mkono wake kabla ya kuamua kutumia shati jeupe la Bill Clinton aliyekuwa amesimama pembeni yake kujifutia katika staili ambayo hata Clinton mwenyewe hakushtukia.

Video ya tukio hilo imewekwa kwenye YouTube na kuzua maoni mbali mbali mengi yao yakipigia kelele kitendo hicho.

Angalia VIDEO ya tukio hilo chini.

MADEREVA WA DALADALA DAR WATANGAZA MGOMO


MADEREVA na makondakta wa daladala wa jijini Dar es Salaam wametangaza mgomo wa kuacha huduma hiyo ambayo walidai utaanza leo.
Mgomo huo tarajio ulisambazwa kwa njia ya vipeperushi na baadhi ya madereva wa jijini humo na mgomo huo utahusisha njia zote za mkoa wa Dar es Salaam.

Sababu ya kuanzisha mgomo huo ulidaiwa na maderava hao kuwa ni maslahi duni kwa siku, na kubwa ni kero za barabarani zinazosababishwa na Kampuni ya Majembe na askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani (Trafiki) ambao wamekuwa wakiwasumbua kila siku kwa sababu ambazo hazina msingi.

Madai mengine ni kutaka kuwekewa mazingira bora ya kazi ikiwemo mishahara, na makato ya mishahara hiyo ipelekwe Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa lengo ya kuboresha kazi hiyo kama wafanyakazi wengine nchini.

ACTIVE FINANCE AND ACTIVE TOURS






Kevin William Mbogo
Chief Executive Officer
...............................
ACTIVE FINANCE AND ACTIVE TOURS
P.O.BOX 3176
Dar es salaam
Tanzania
Tel: +255 22 2134700
Fax:+255 22 2134700
Hotline: +255 787 888 884
+255 777 028 570
Email:info@activetz.com
Web:www.activetz.com