WELCOME TO TANZAMERICA'S WORLD

Tanzamerica
Is a social network page that updates you with current news from Tanzania , America and around the world. Also, gives you the opportunity to link up your business or ministry between Tanzania and America .We are also dealing with Entertainments (music,movie and art) news, and sports between the two country.
For more info on how to advertise your business, ministry, career and news
Contact us:
+1360 561 6629
Patrick.
tanzamerica@gmail.com
info@patricknworld.com
http://www.tanzamerica.blogspot.com
Detailed Info

http://www.celebafrica.blogspot.com
http://www.patricknworld.blogspot.com
http://www.reverbnation.com/patricknewman

Monday, April 5, 2010

KUMBUKUMBU YA KUSULUBIWA KWA YESU PHILIPINO WAIGIZA UKWELI KWA KUWAPIGILIA WATU MISUMARI YA UKWELI


Bila ya kutumia ganzi misumari ya sentimeta tano ilipigiliwa kwenye mikono na miguu ya waumini wa Kikristo katika kukumbushia kusulubiwa kwa mkombozi wa wakristo, Yesu Kristo.





Mamia ya waumini wa Kikristo nchini Philippines walitumia dakika kadhaa wakiwa kwenye maumivu makali wakati walipoadhimisha siku ya kusulubiwa kwa yesu kwa kupigiliwa misumari ya sentimeta tano kwenye miguu na mikono yao.
Bila ya kutumia ganzi misumari ya sentimeta tano ilipigiliwa kwenye mikono na miguu ya waumini wa Kikristo katika kukumbushia kusulubiwa kwa mkombozi wa wakristo, Yesu Kristo.

Mwanamke aliyejitambulisha kwa jina la Mary-Jane Mamangun alidai kuwa hakusikia maumivu yoyote wakati misumari ya sentimeta tano ilipokuwa ikipigiliwa kwenye miguu na mikono yake.

Lakini sura yake wakati alipotundikwa msalabani ilionyesha wazi maumivu makali aliyokuwa akiyapata na alilazimika kuwahishwa kwenye hema la matibabu ambapo alipatiwa dawa za kupunguza maumivu.

Gonga linki chini kwa picha za waumini wa kikristo nchini Filipino kupigiliwa misumari.

No comments:

Post a Comment