WELCOME TO TANZAMERICA'S WORLD

Tanzamerica
Is a social network page that updates you with current news from Tanzania , America and around the world. Also, gives you the opportunity to link up your business or ministry between Tanzania and America .We are also dealing with Entertainments (music,movie and art) news, and sports between the two country.
For more info on how to advertise your business, ministry, career and news
Contact us:
+1360 561 6629
Patrick.
tanzamerica@gmail.com
info@patricknworld.com
http://www.tanzamerica.blogspot.com
Detailed Info

http://www.celebafrica.blogspot.com
http://www.patricknworld.blogspot.com
http://www.reverbnation.com/patricknewman

Tuesday, June 1, 2010

Watanzania Kuzilipa Gharama za Kuwaleta Wabrazili


Washabiki wa soka Tanzania ndio wataolazimika kujipinda ili kuzilipa dola milioni 2.5 ambazo Brazili imelipwa ili kuileta timu yake Tanzania.
Shirikisho la soka Tanzania, TFF limepanga viingilio vikubwa kwenye mechi kati ya Brazili na Tanzania itakayofanyika jumatatu ijayo jijini Dar es Salaam.

Viingilio vimekuwa vikubwa kuliko kawaida ili kulipia gharama za kuwaleta mastaa wa Brazili Tanzania.

Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vingi vya habari, Tanzania imewalipa Brazili dola milioni 2.5 ingawa TFF imekataa kusema imewalipa Brazili dola milioni ngapi.

TFF ilisema kuwa kuwaleta Brazili nchini Tanzania ni gharama sana hivyo Watanzania wajiandae kukaza mikanda kulipa gharama hizo.

TFF inaamini kuwa mapato ya magetini yatatosha kuzilipa gharama za kuwaleta Brazili Tanzania.

Viingilio katika mechi hiyo itakayochezwa juni 7 vimepangwa kuanzia Tsh. 30,000 hadi Tsh. 200,000.

Majukwaa ya VIP tiketi zinaanzia laki moja hadi laki mbili ambapo taarifa za TFF zinasema kuwa tiketi za laki mbili zimeishanunuliwa zote.

Majukwaa yaliyobakia tiketi zinaanzia Tsh. 30,000 hadi Tsh. 80,000.

No comments:

Post a Comment