WELCOME TO TANZAMERICA'S WORLD

Tanzamerica
Is a social network page that updates you with current news from Tanzania , America and around the world. Also, gives you the opportunity to link up your business or ministry between Tanzania and America .We are also dealing with Entertainments (music,movie and art) news, and sports between the two country.
For more info on how to advertise your business, ministry, career and news
Contact us:
+1360 561 6629
Patrick.
tanzamerica@gmail.com
info@patricknworld.com
http://www.tanzamerica.blogspot.com
Detailed Info

http://www.celebafrica.blogspot.com
http://www.patricknworld.blogspot.com
http://www.reverbnation.com/patricknewman

Monday, March 22, 2010

ASKOFU KAKOBE BADO VITANI NA SERIKALI



kuonesha Serikali ipo katika juhudi za kuboresha huduma za nishati ya umeme nchini, jana mabango la Kanisa la Full Gospel Fellowship linaloonyehsa na kuwaelekeza watu kufika kanisani hapo limetolewa na mafundi wa Tanesco chini ya ulinzi mkali wa polisi.

Mabango hayo mawili yalisimikwa nje ya kanisa la Full Gospel Bibilia Fellowship(FGBFC) Linaliongozwa na askof Zakaria kakobe Jijini Dar es Salaam.

Mbali na kuondolewa mabango hayo pia askofu huyo ametakiwa na serikali kwa kupitia wakala wa barabara nchini (TANROAD)kuwajibika kulipa gharama za uondoaji wa mabango hayo kutokana na kuchelewa kufanya kazi hiyo kama alivyoelekezwa'

Mabango hayo yaliondolewa baada ya kudai kuwa mabango hayo yapo kwenye njia ya mradi wa umeme wa magawati 1332 na ni lazima yangetolewa kupisha mradi huo na kanisa hilo limetakiwa kuwajibika kulipa gharama hizo kwa kuwa yamechelewesha kazi ya utandazaji wa waya za umeme huo,amabapo kazi hiyo ilipangwakukamilika machi 15,mwaka huu.
Hata hivyo wakati kazi hiyo ukiendelea askofu kakobe na waumini wake hawakushiriki zoezi lake na walijifungia kanisani wakifanya maombi



No comments:

Post a Comment