WELCOME TO TANZAMERICA'S WORLD

Tanzamerica
Is a social network page that updates you with current news from Tanzania , America and around the world. Also, gives you the opportunity to link up your business or ministry between Tanzania and America .We are also dealing with Entertainments (music,movie and art) news, and sports between the two country.
For more info on how to advertise your business, ministry, career and news
Contact us:
+1360 561 6629
Patrick.
tanzamerica@gmail.com
info@patricknworld.com
http://www.tanzamerica.blogspot.com
Detailed Info

http://www.celebafrica.blogspot.com
http://www.patricknworld.blogspot.com
http://www.reverbnation.com/patricknewman

Monday, March 22, 2010

MAKONTENA YA BIDAA BANDIA YAKAMAKWA BANDARINI DAR


Shehena ya makontena 20 za betri aina ya tiger head kutoka China zimekamatwa kutokana na kukosa ubora wa viwango vya matumizi ya bidaa hiyo.
Kontena hizo zimekamatwa katika operesheni ya Shirika la viwango nchini (TBS) katika kukagua bidaa ziingiazo nchini ambazo hazina viwango vya matumzi.
Mkurugenzi Mkuu wa TBS nchini Charles Ekerege alisema shehena walioyakamata ya betri hizo ilifika nchini januari mwaka huu, lakini walipozikagua waligundua kuwa hazina ubora uliowekwa na shirika hilo.
Alisema betri hizo zinaingizwa nchini na wafanya biashara wakubwa na wakati mwingine imedaiwa kuwa wanaziingiza kwa njia ya panya.

Alisema betri hizo huingizwa nhini na huuzwa kwa bei za rejareja shilingi 350 na zinazotengenezwa hapa nchini huuzwa kwa shilingi 450 kila moja na watanzania wengu hukimbilia betri hizo kutokana na unafuu wa bei.

No comments:

Post a Comment