WELCOME TO TANZAMERICA'S WORLD

Tanzamerica
Is a social network page that updates you with current news from Tanzania , America and around the world. Also, gives you the opportunity to link up your business or ministry between Tanzania and America .We are also dealing with Entertainments (music,movie and art) news, and sports between the two country.
For more info on how to advertise your business, ministry, career and news
Contact us:
+1360 561 6629
Patrick.
tanzamerica@gmail.com
info@patricknworld.com
http://www.tanzamerica.blogspot.com
Detailed Info

http://www.celebafrica.blogspot.com
http://www.patricknworld.blogspot.com
http://www.reverbnation.com/patricknewman

Monday, March 29, 2010

DARAU ZA RAISI WA ZAMAMNI WA MAREKANI GEORGE BUSH




Bush akiufuta mkono wake kwa kutumia shati la Bush Monday, March 29, 2010 5:45 AM
Rais wa zamani wa Marekani, George Bush ameingia katika zengwe kubwa sana baada ya kudaiwa kuonyesha dharau kwa kuufuta mkono wake kwa kutumia shati la rais wa zamani wa Marekani Bill Clinton baada ya kupeana mkono na mhanga wa tetemeko la Haiti.
George W Bush ameingia kwenye zengwe kubwa sana baada ya kudaiwa kuufuta mkono wake baada ya kupeana mkono na raia wa Haiti aliyenusurika kwenye tetemeko kubwa la ardhi lililoikumba nchi hiyo na kuua maelfu ya watu.

Rais huyo wa zamani wa Marekani alinaswa live katika video akisalimiana kwa kupeana mkono na mkimbizi wa Haiti halafu alifuta mkono wake kwa kutumia shati la rais mwenzake mstaafu, Bill Clinton.

Tukio hilo limetokea wiki iliyopita wakati Bush na Clinton walipotembelea kambi ya wahanga wa tetemeko la ardhi mjini Port-au-Prince baada ya kuombwa na rais Barack Obama wafanye hivyo ili kutunisha mfuko wa kusaidia wahanga wa Haiti.

Bush anaonekana wazi akipeana mkono na mwanaume raia wa Haiti na kisha kuuzungusha mkono wake hewani akiangalia wapi ausafishe mkono wake kabla ya kuamua kutumia shati jeupe la Bill Clinton aliyekuwa amesimama pembeni yake kujifutia katika staili ambayo hata Clinton mwenyewe hakushtukia.

Video ya tukio hilo imewekwa kwenye YouTube na kuzua maoni mbali mbali mengi yao yakipigia kelele kitendo hicho.

Angalia VIDEO ya tukio hilo chini.

No comments:

Post a Comment