WELCOME TO TANZAMERICA'S WORLD

Tanzamerica
Is a social network page that updates you with current news from Tanzania , America and around the world. Also, gives you the opportunity to link up your business or ministry between Tanzania and America .We are also dealing with Entertainments (music,movie and art) news, and sports between the two country.
For more info on how to advertise your business, ministry, career and news
Contact us:
+1360 561 6629
Patrick.
tanzamerica@gmail.com
info@patricknworld.com
http://www.tanzamerica.blogspot.com
Detailed Info

http://www.celebafrica.blogspot.com
http://www.patricknworld.blogspot.com
http://www.reverbnation.com/patricknewman

Thursday, April 22, 2010

MSICHANA ABAKWA NA BOSS WAKE

MSICHANA mmoja jina lake halitaweza kuchapishwa kwa leo amebakwa na mwajiri wake usiku wa kuamkia leo
Msichana huyo alifanyawa unyama huo usiku wa kuamikia leo, huko maeneo ya Mbezi anapofanyia kazi yake hiyo aliyodumu nayo kwa muda wa mwaka mmjoa na nusu sasa.

Msichana huyo alionekana akilia na mwandishi wa habari hii huko Kimara, majira ya saa kumi na mbili asubuhi, alipokuja kuomba ushauri kwa ndugu yake wa kutoka kijiji kimoja huko Iringa.

Ndugu yake huyo ambaye ni jirani na mwandishi wa habari hii alidai mdogo wake huyo aliweza kulazimishwa afanye mapenzi na bosi wake huyo ambaye ni mwajiriwa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania na alifanikiwa kumbaka pasipo hiari yake

Alidai msichana huyo kuwa mwajiri wake huyo alimwingilia chumbani majira ya sa saba usiku, na kumtaka afanye nae mapenzi na alishindwa kutoroka kwa kuwa alimzidi nguvu kwa hali ya kuwa yeye ni mwanaume.

Alidai aliweza kuingia katika chumba hicho kwa kuwa chumba hicho hakikumaliza mlango kwani walihamia hivi karibuni bila nyumba hiyo kumalizika ipasavyo.

Alidai mara baada ya kuingia chumbani humo alimuamsha msichana huyo na kushangaa kulikuwa na tatizo gani punde alimuamuru afanya matendo anayoyahitaji na kukataa huku akilia na baba huyo kumuahidi kuwa pindi atakapokubali atamsomesha na kumuhamisha hapo nyumbani.

Mbali na ahadi hiyo binti huyo aliendaelea kugoma huku akilia na kumkatalia ndipo baba huyo alimlazimisha na kumbaka.

Alidai kuwa baba huyo alifanikiwa kumbaka kwa kuwa mke wake alisafiri kwenda kwao mkoani Mbeya kwa mama yake alikwenda huko kwa kuwa alikwenda kujifungua kwao ili akapate uangalizi wa karibu.

Alidai mke wake alisafiri mwanzoni mwa mwezi huu na alimuacha mdogo wake wa waishi nae na kwa jana mdogo wake huyo hakurudi nyumbani na ndiyo baba huyo alitumia fursa hiyo kufanikisha adhama yake.

Hata hivyo kwa maelezo ya haraka haraka alimwambia dada yake huyo anaogopa kurudi tena na atarudi endapo bosi wake kike atakaporudi kwa kuwa aliihitaji kazi yake kwani ndiyo ilikuwa ikimsaidia kujikimu matatizo yake madogomadogo.

No comments:

Post a Comment