WELCOME TO TANZAMERICA'S WORLD

Tanzamerica
Is a social network page that updates you with current news from Tanzania , America and around the world. Also, gives you the opportunity to link up your business or ministry between Tanzania and America .We are also dealing with Entertainments (music,movie and art) news, and sports between the two country.
For more info on how to advertise your business, ministry, career and news
Contact us:
+1360 561 6629
Patrick.
tanzamerica@gmail.com
info@patricknworld.com
http://www.tanzamerica.blogspot.com
Detailed Info

http://www.celebafrica.blogspot.com
http://www.patricknworld.blogspot.com
http://www.reverbnation.com/patricknewman

Wednesday, April 28, 2010

ZAIDI YA WAFUNGWA 3000 WAACHIWA HURU

RAIS Jakaya Kikwete, ametoa msamaha kwa wafungwa zaidi ya 3,101 waliuokuwa wanatumikia vifungo kwenye magereza mbalimbali nchini.

Rais alitoa msamaha huo jana wakati wa maadhimisho ya miaka 46 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika viwanja vya Uhuru jijini Dar es Salaam.

Wafungwa walionufaika na msahama huo ni waliokuwa wanatumikia vifungo visivyozidi miaka mitano jela, wengine ni wafungwa wenye magonjwa kama ya Ukimwi, kifua kikuu na saratani ambao wanaelekea kuwa katika siku za mwisho za maisha yao, baada ya kuthibitishwa na jopo la wataalamu wea afya ngazi ya wilaya na mkoa.

Wengine ni wazee wenye umri wa miaka 70 na zaidi, wakiwemo wajawazito, wanawake wenye watoto wanaonyonya, walemavu wa mwili na akili pia.

Msamaha huo hautawahusu wafungwa wanaotokana na makundi ya waliohukumiwa kunyongwa, wenye makosa ya kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya, kupokea na kutoa rushwa, unyang'anyi wa kutumia silaha, ubakaji, kunajisi, kulawiti na wizi wa magari kwa kutumia silaha.

Wengine ambao hawatanufaika na msamaha huo ni wale waliowapa mimba wanafunzi wa shule za msingi na kusababisha washindwe kuendelea na

No comments:

Post a Comment